top of page

NAMBA ZA DHARURA ZA BIBLIA.

Waweza kujifunza lakini!


 Shalom…

Hahahahaha😁😁😁😁,its funy!

Anyway,jisomee tu…( nimetumiwa na mpendwa mmoja) ☎📞Katika majonzi, piga Yohana 14

Watu wakikukosea, piga Zaburi 27

☎📞Kama umetenda dhambi, piga Zaburi 51

☎📞Ukiwa na hofu, piga Mathayo 6:19-34

Katika hatari, piga Zaburi 92

☎📞Ukiona kama Mungu yuko mbali nawe, piga Zaburi 139

☎📞Kama imani yako inahitaji muongozo au marekebisho, piga Wahebrania 11

☎📞Ukiwa mkiwa na mwenye woga, piga Zaburi 23

☎📞Ukiwa mkali (mwenye jazba) na mwenye kupenda kukosoakosoa, piga 1 Wakorinto 13

☎📞Ukijihisi kupata msongo fulani na kuchoka, piga Warumi 8:31-39

☎📞Ukitaka Amani na kupumzika, piga Mathayo 11:25-30

☎📞Iwapo dunia inakusonga na kukufanya umsahau Mungu, piga Zaburi 90

☎📞Ukitaka uhakika wa Ukristu/Kikristu, piga Warumi 8:1-30

☎📞Ukitoka nyumbani kwenda kazini au ukisafiri, piga Zaburi 121

☎📞Sala zako zikiwa kidogo au za kibinafsi, piga Zaburi 67

☎📞Ukihitaji ujasiri kwa ajili ya kazi/jambo fulani, Piga Joshua 1

☎📞Ukifikiri kuhusu kuwekeza/kurejesha, piga Marko 10

☎📞Namna ya kuwa katika mahusiano mazuri na binadamu wenzako, piga Warumi 12

☎📞Katika majonzi, piga Yohana 14

☎📞Watu wakikukosea, piga Zaburi 27

☎📞Kama umetenda dhambi, piga Zaburi 51

☎📞Ukiwa na hofu, piga Mathayo 6:19-34

Katika hatari, piga Zaburi 92

☎📞Ukiona kama Mungu yuko mbali nawe, piga Zaburi 139

☎📞Kama imani yako inahitaji muongozo au marekebisho, piga Wahebrania 11

☎📞Ukiwa mkiwa na mwenye woga, piga Zaburi 23

☎📞Ukiwa mkali (mwenye jazba) na mwenye kupenda kukosoakosoa, piga 1 Wakorinto 13

☎📞Ukijihisi kupata msongo fulani na kuchoka, piga Warumi 8:31-39

☎📞Ukitaka Amani na kupumzika, piga Mathayo 11:25-30

☎📞Iwapo dunia inakusonga na kukufanya umsahau Mungu, piga Zaburi 90

☎📞Ukitaka uhakika wa Ukristu/Kikristu, piga Warumi 8:1-30

☎📞Ukotoka nyumbani kwenda kazini au ukisafiri, piga Zaburi 121

☎📞Sala zako zikiwa kidogo au za kibinafsi, piga Zaburi 67

☎📞Ukihitaji ujasiri kwa ajili ya kazi/jambo fulani, Piga Joshua 1

☎📞Ukifikiri kuhusu kuwekeza/kurejesha, piga Marko 10

☎📞Namna ya kuwa katika mahusiano mazuri na binadamu wenzako, piga Warumi 12

☎📞Kwa ajili ya uvumbuzi/nafasi fulani, piga Isaya 55

☎📞Kwa ajili ya Siri ya Furaha ya Paulo, piga Wakolosai 3:12-17

☎📞Kwa ajili ya fulani, piga Isaya 55

☎📞Kwa ajili ya ufahamu juu ya Ukristu, piga 2Cor 5:15-19

☎📞Umesongwa/umehuzunika, piga Zaburi 27

☎📞Kuwa mwenye kuzaa matunda (mwenye mafanikio/kufanikiwa), piga John 15

☎📞Kama kijitabu chako cha mfukoni kimepungukiwa, piga Zaburi 37

☎📞Kama umepoteza ujasiri mbele ya watu, piga 1 Wakorinto 13

☎📞Kama watu wakionekana hawana ukarimu, piga Yohana 15

☎📞Kama umekatishwa tamaa kuhusu kazi yako, piga Zaburi 126

☎📞Ukiona dunia inakuwa ñdogo na wewe unakuwa mkuu au mkubwa, piga Zaburi 19

Na Mch. Gasper Madumla

Kwa mawasiliano zaidi piga +255 683 877 900.

What’s app namba ni +255 746 446 446 

BARIKIWA.

Comments


Post: MAFUNDISHO

Follow

  • Facebook
  • Twitter

©2022 by MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU. Proudly created with Wix.com

bottom of page