NAMBA ZA DHARURA ZA BIBLIA.
- Mch. Gasper Madumla
- Jan 22, 2018
- 2 min read

Waweza kujifunza lakini!
Shalom…
Hahahahaha😁😁😁😁,its funy!
Anyway,jisomee tu…( nimetumiwa na mpendwa mmoja) ☎📞Katika majonzi, piga Yohana 14
Watu wakikukosea, piga Zaburi 27
☎📞Kama umetenda dhambi, piga Zaburi 51
☎📞Ukiwa na hofu, piga Mathayo 6:19-34
Katika hatari, piga Zaburi 92
☎📞Ukiona kama Mungu yuko mbali nawe, piga Zaburi 139
☎📞Kama imani yako inahitaji muongozo au marekebisho, piga Wahebrania 11
☎📞Ukiwa mkiwa na mwenye woga, piga Zaburi 23
☎📞Ukiwa mkali (mwenye jazba) na mwenye kupenda kukosoakosoa, piga 1 Wakorinto 13
☎📞Ukijihisi kupata msongo fulani na kuchoka, piga Warumi 8:31-39
☎📞Ukitaka Amani na kupumzika, piga Mathayo 11:25-30
☎📞Iwapo dunia inakusonga na kukufanya umsahau Mungu, piga Zaburi 90
☎📞Ukitaka uhakika wa Ukristu/Kikristu, piga Warumi 8:1-30
☎📞Ukitoka nyumbani kwenda kazini au ukisafiri, piga Zaburi 121
☎📞Sala zako zikiwa kidogo au za kibinafsi, piga Zaburi 67
☎📞Ukihitaji ujasiri kwa ajili ya kazi/jambo fulani, Piga Joshua 1
☎📞Ukifikiri kuhusu kuwekeza/kurejesha, piga Marko 10
☎📞Namna ya kuwa katika mahusiano mazuri na binadamu wenzako, piga Warumi 12
☎📞Katika majonzi, piga Yohana 14
☎📞Watu wakikukosea, piga Zaburi 27
☎📞Kama umetenda dhambi, piga Zaburi 51
☎📞Ukiwa na hofu, piga Mathayo 6:19-34
Katika hatari, piga Zaburi 92
☎📞Ukiona kama Mungu yuko mbali nawe, piga Zaburi 139
☎📞Kama imani yako inahitaji muongozo au marekebisho, piga Wahebrania 11
☎📞Ukiwa mkiwa na mwenye woga, piga Zaburi 23
☎📞Ukiwa mkali (mwenye jazba) na mwenye kupenda kukosoakosoa, piga 1 Wakorinto 13
☎📞Ukijihisi kupata msongo fulani na kuchoka, piga Warumi 8:31-39
☎📞Ukitaka Amani na kupumzika, piga Mathayo 11:25-30
☎📞Iwapo dunia inakusonga na kukufanya umsahau Mungu, piga Zaburi 90
☎📞Ukitaka uhakika wa Ukristu/Kikristu, piga Warumi 8:1-30
☎📞Ukotoka nyumbani kwenda kazini au ukisafiri, piga Zaburi 121
☎📞Sala zako zikiwa kidogo au za kibinafsi, piga Zaburi 67
☎📞Ukihitaji ujasiri kwa ajili ya kazi/jambo fulani, Piga Joshua 1
☎📞Ukifikiri kuhusu kuwekeza/kurejesha, piga Marko 10
☎📞Namna ya kuwa katika mahusiano mazuri na binadamu wenzako, piga Warumi 12
☎📞Kwa ajili ya uvumbuzi/nafasi fulani, piga Isaya 55
☎📞Kwa ajili ya Siri ya Furaha ya Paulo, piga Wakolosai 3:12-17
☎📞Kwa ajili ya fulani, piga Isaya 55
☎📞Kwa ajili ya ufahamu juu ya Ukristu, piga 2Cor 5:15-19
☎📞Umesongwa/umehuzunika, piga Zaburi 27
☎📞Kuwa mwenye kuzaa matunda (mwenye mafanikio/kufanikiwa), piga John 15
☎📞Kama kijitabu chako cha mfukoni kimepungukiwa, piga Zaburi 37
☎📞Kama umepoteza ujasiri mbele ya watu, piga 1 Wakorinto 13
☎📞Kama watu wakionekana hawana ukarimu, piga Yohana 15
☎📞Kama umekatishwa tamaa kuhusu kazi yako, piga Zaburi 126
☎📞Ukiona dunia inakuwa ñdogo na wewe unakuwa mkuu au mkubwa, piga Zaburi 19
Na Mch. Gasper Madumla
Kwa mawasiliano zaidi piga +255 683 877 900.
What’s app namba ni +255 746 446 446
BARIKIWA.
Comments