top of page

JINA LA YESU.

DONDOO YA MTUMISHI EDWIN NSYANI.( mzee wa kanisa)


JINA LA YESU

Bwana Yesu asifiwe…

Kwa ufupi,

✅Mara nyingi Yesu alikuwa akisisitiza kwamba kazi anazofanya hazikuwa zake bali za baba yake akionyesha kuwa yupo aliyempeleka.

✅Hakuja kwa jina lake bali la baba yake.Kama yanenavyo maandiko;

Mimi nimekuja KWA JINA la BABA YANGU, wala ninyi hamnipokei; mwingine akija kwa jina lake mwenyewe, mtampokea huyo.(Yohana 5:43)

LAKINI BIBLIA INATUAMBIA LILE JINA ALIKUWA AMELIRITHI,KWA HIYO JINA LA YESU NI JINA LA BWANA KWA SABABU BWANA NDIYE MUNGU NA KWA HIYO JINA LA YESU NI JINA LA MUNGU.

4 amefanyika bora kupita malaika, kwa kadiri JINA ALILOLIRITHI lilivyo TUKUFU kuliko lao.(Waebrania 1:4)

Mungu anajifunua kwa majina kulingana na NYAKATI.

=MUNGU MWENYEZI=>NIKO AMBAYE NIKO=>JEHOVA=>YESU NDILO JINA TULILOPEWA SASA LITUPASALO KUOKOLEWA KWALO.

Na Edwin Nsyani. 0686 274 017 What’s app +255 746 446 446

UBARIKIWE.

Comments


Post: MAFUNDISHO

Follow

  • Facebook
  • Twitter

©2022 by MAFUNDISHO YA NENO LA MUNGU. Proudly created with Wix.com

bottom of page